Balozi Dr slaa mahakani tena baada ya ccm kushindwa kumrubuni mbunge viti maalum chadema MH.Rose kamili

Baada ya mbinu za ccm kukwama sasa wamtumia Dr Slaa kumuumiza kwa kumpeleka mahakamani kutaka kumnyanganya Nyumba.

Aisee ila yataisha

Dr Mihogo asipofanya hivyo tunampokonya ubalozi

Andika habari yako kwa utulivu ndugu…

Wamefikia huku tena?

Itasikitisha sana…

Cc: @Mahondaw

!
!
Dr Slaa Kawa Silaha

Hapa ndio Rose atajua hajui! Yaani mtu aliyeshare naye kila kitu anamgeuka kwa sababu za kisiasa. Shame!

Tatizo habari kama hizi huwa zinaambatana na propaganda… sidhani Dr Slaa anaweza kutumika kipuuzi namna hali akijua yule mama watoto wake.

Umesahau kuwa wakiingia kule akili zao zinahama?

Duh

Ukiwa CCM chochote waweza fanya. Wewe hebu fikiria Lembeli wa kusema kweli kwamba anataka kurudi CCM eti kwa sababu watu wa kwao wanashindwa kutambika kwa kuwa yeye yuko CHADEMA? Kama alikubali kutumika 2015 usishangae kutumika leo hii.

Habari yako haijitoshelezi kabisa mkuu

Huu ndio uandishi ambao hata ukipelekwa mahakamani unachomoa…bado hali siyo shwari saana

K

Kwani unataka atumike mara ngapi na kwa namna gani ili ukubali kuwa Slaa ni simple kutumika kuliko hata kafulila?

Kesho ndo siku ya kwanza kusikilizwa tuone Mahakama inavyo tumika