Ayayayaya..Birrionare things

Yaani mse ame spend hivi ?? Usiku mmoja ???

Hapa ndio unaanza kuimba “usinipite, unapo zuru wengine naomba usinipite”.

Na saa hizo unalia machozi 30 litres
[ATTACH=full]45031[/ATTACH]

2 Likes

Tulinunuliwo moët moja moja!

Hii bill ni ya Uwesmake?

2 Likes

who is your boss? anika yeye hapa?

“Some People are so Poor, All they have is Money”

  • Patrick Meagher
10 Likes

By Glass
Moet Imperial Brut (Sh1,690)
Moet Imperial Rose (Sh1950)

By Bottle
Moet & Chandon Brut (75cl) – Sh9,990
Moet & Chandon Rose (75cL) – Sh12,900
Moet & Chandon Brut Magnum (1.5L) – Sh19,500
Moet & Chandon Brut Jeroboam (3L) – Sh38,000

Unless each had 7 bottles of 3L which it too much even if you are those shaddy pple who who drink such drinks bila class hiyo bill ni fake…

6 Likes

nauliza aje… hio VAT yoooote…!!! chupa moja na packet ya embassy…???

This means I’m horribly broke. But I don’t value money much. Hehe.

:D:D hata mimi sipendi pesa mingi sana

divide 1.16m by 58. Yani do the math. Utapata each bottle going for 20k, I think

[ATTACH=full]45044[/ATTACH]

Watu hugongwa a bottle of Moet Ròse is only 2K.

2 Likes

WACHA NIKUNYWE GILBEYS YANGU POLEPOLE

2 Likes

Mimi nginethi ikipita 250 reke nemwo.

2 Likes

you can only blow money like this if you acquired it through short cuts

11 Likes

This is very true.

birrionea generation

1 Like

Tutasema mara ngapi mabo za whatsap tuwache.
This shit has been sent over and over again.

wengine wetu huonea hapa so tusamehe kaka

1 Like

I suspect the management billed the receipt intentionally to give that Bar some class. Free advert

2 Likes