Ati mchango wa membe unahitajika

Dk utufafanulie ni mchango gani huo unaohitajika kutoka kwa membe ?

Hivi jiwe ameanza kumuambaruti km ccm? Namuona kawa kama bi makondakta. Mwacheni jiwe apambane na jasusi mmobobezi 2020 araaaaa

Mtu aliyetuingiza kwenye sakata la ushoga kwa makusudi, fyekelea mbali

Mchango wa aina gani?

Cc: @Mahondaw