Leo wamekamuana mbaya sana
[ATTACH=full]330452[/ATTACH]
Leo wamekamuana mbaya sana
[ATTACH=full]330452[/ATTACH]
Kuna msee amefunga 5
kuna timu za nigeria zilifunga 69 - 0 na 76 - 0. si baki, futa
huyo huntlaar nmewai msikia
Amewahi chezea Schalke04, Milan, Ajax na Real Madrid.
unahii highlight…heheh sounds like playing on easy mode
Just wondering how old Klaas-Jan Huntelaar is…
Hu
Hujawahi sikia msito Daley Blind man?
ule wa manchester?
Formerly of manchester alirudi huko Ajax