Safi sana zakaria inawezekana usiwe mkuria mgita and the likes lakini ushujaa wako uliouonyesha umetuwakilisha vyema wanaume wa kanda ya ziwa.. mara vita ni vita
Mkuu wa mkoa wa mara amethibitisha kuwa maofisa usalama hao walifika kwenye kituo cha mafuta kinachomilikiwa na mfanya biashara huyo ambapo wawili walishuka kwenye gari na kuanza majibizano ndipo mfanya biashara huyo maarufu akachukua bastola yake na kuwajeruhi wawili, wengine waliokuwepo kwenye...
Kama kichwa kinavyojieleza nadhani ni wakati wa kufufua nyuzi yoyote unayoikumbuka ili tuendeleze mijadala hivyo usiumize sana kichwa kuanzisha nyuzi mpya..ingawa nyumbani korosho zimeleta balaa